Tuswali na kumuomba mungu kila kukicha ndugu waislam kwani tuko kwenye mwezi mtukufu wa ramadhani jamani huu ni mwezi pekee wa toba kila mja anapaswa kutubu leo ni swaumu ya 9 imeisha kesho ni ya kumi zimebaki 20 tujitahidi ndugu zangu na wale wasio tambua watambue sasa. Ameennna. @deejaydullah via blackberry just now
No comments:
Post a Comment